iqna

IQNA

Sheikh Abdul Basit Abdul Swamad
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza kuwa duru ijayo ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani nchini humo imepewa jina la Qari maarufu wa nchi hiyo, al marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Swamad .
Habari ID: 3472184    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/23